
Ameyasema
hayo wakati wa ufunguzi wa bodi ya wahasibu nchini Tanzania uliofanyika katika
ukumbi wa kimataifa aicc jijini Arusha. Dk mgimwa amesema kuwa taaluma ya
uhasibu inahakikisha kodi zote zinakusanywa na kila mtu anatoa kodi kulingana
na biashara anayo shughulika nayo.
Aidha amesema
kuwa matokeo makubwa ya sasa yaani big
result now yasingeweza kufikiwa kama fedha itakuwa na matumizi mabaya
katika kuchangia pato la taifa na kusema kuwa uhasibu ni taaluma muhimu yapaswa
kuzingatiwa
Pia ametaja
takwimu katika soko la fedha nchini kuwa ni mil1 na laki 9 kwa watu wazima na
chini ya umri wa miaka 18 ni zaidi ya watu mil25 ambapo katika soko hilo
kiwango cha chini cha shughuli katika soko hilo kuwa lipo chini kwa kasi kubwa.
No comments:
Post a Comment