Front page

MATANGAZO

KARIBU

Friday, December 13, 2013

IMETOKEA ZAMANI LAKINI KUNA SOMO NDANI YAKE!.

1499487_10201908151078175_1045449240_n_f263d.jpg
Mbunge wa mmojawapo wa Songea Ali Yusuf Abdurabi  alifungwa miaka 9 jela. Kosa lilikuwa ni kukutwa na PEMBE ZA NDOVU maarufu kama meno ya tembo yaliyojaa kwenye Landrover tu. Na system yetu ya ulinzi iliweza kubaini uhalifu huo huko huko Songea, leo mpaka Wachina wanakamatwa na makontena ya meno yetu ya tembo bandarini. Tujisahihishe ili tusonge mbele. Picha hii ni ya kwenye maktaba yaMJENGWA.

No comments:

Post a Comment