| ACHA WEWEEEEEEEEEEE...KAZI KWELI KWELI. |
| MAMBO YA CHAKULA... |
| MSAADA , HUDUMA YA KWANZA... |
| Waziri wa Habari ,Utamaduni na Michezo Penina Mkangara akisoma risala katika siku ya kumbukumbu ya Edward Sokoine hapo jana. |
| Mbunge Sendeka wa Simanjiro -Manyara akikimbia katika mbio maalum....VIP..ilikuwa moja ya tukio lenye mvuto kuona wabunge wakichemsha vitambi. |
| TUNATAZAMA KWA MAKINI.....WANANCHI WA MONDULI WAKIWA KATIKA VITI VYAO KATIKA KUMUENZI MPENDWA WAO, EDWARD MORINGE SOKOINE. |
| GODBLESS LEMA KUSHOTO SAMBAMBA NA CHRISTOPHER OLE SENDEKA WAKICHEKA HUKU WAKISHUHUDIA MASHINDANO YA RIADHA.....NAO PIA WALIPATA NAFASI YA KUKIMBIA KILOMETA ZAIDI YA MBILI. |
No comments:
Post a Comment