Maktaba ya kisasa , mpya kabisa Wilayani Mbulu ambayo inakusudia kurudisha utamaduni wa kujisomea kwa watanzania ambao ulishika kasi miaka ya 70 na 80 kisha kuanza kufifia....Pongezi kwa Msimamizi Mwandamizi, mama Colleta Temba ambaye hakika ameifanya Maktaba hii kuwa gumzo mjini Mbulu... |
No comments:
Post a Comment