Front page

MATANGAZO

KARIBU

Wednesday, November 27, 2013

TEMBO WAKITOWEKA UCHUMI UTAYUMBA-TANAPA

Watanzania wametakiwa kutathmini athari kubwa zitakazolikumba taifa iwapo TEMBO na wanyama wengine watatoweka nchini.
Hayo yamesemwa jana na Meneja wa Uhusiano na Mawasiliano wa Mamlaka ya hifadhi za Taifa (TANAPA) PASCHAL SHELUTETE wakati akizungumza na waandishi wa habari wakati akitangaza tuzo za wanahabari kuhusu habari za kuhamasisha utalii wa ndani pamoja na utunzaji na uhifadhi wa rasilimali zilizomo hasa wanyama.....PICHANI NI BAADHI YA WANAHABARI WA MKOANI ARUSHA WAKIONGOZWA NA MWENYEKITI WA ARUSHA PRESS CLUB WA PILI TOKA KUSHOTO MSTARI WA MBELE WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI NDUGU SHELUTETE  ANAYEONEKANA PICHANI CHINI.....KUSIKIA SAUTI YAKE KUHUSU ZAWADI ZA TUZO HIZO BONYEZA CHINI USIKIE .....
 
 

No comments:

Post a Comment