Front page

MATANGAZO

KARIBU

Tuesday, April 23, 2013

Wanawake na Mieleka Senegal

 22 Aprili, 2013 - Saa 13:48 GMT

 
 
Nchini Senegal, miereka ya kitamaduni inapendwa zaidi kuliko soka huku wachezaji wakijipatia pesa nyingi na hata kuwa watu maarufu. Katika sehemu nyingi za nchi mchezo huu ni wa wanaume pekee lakini katika maeneo ya mashinani , hususan Kusini mwa nchi, kuna historia ndefu ya wanawake kushiriki miereka na ndio maana timu yua taifa inajumuisha watu kutoka eneo hilo. Picha na maelezo: Laeila Adjovi.

No comments:

Post a Comment