Sanamu ya Mwalimu Julius Nyerere katika taasisi ya Sayansi ya Nelson Mandela , Arusha |
Adam Rashid Sunga akimwelekeza Unambwe Kiwandai Mafie jinsi gani kabila la Wakwere hufanya tiba na matambiko yao kiasili. Tukio hili lilifanyika katika kijiji cha Makumbusho ya Taifa -Dar es Salaam |
WASANII WA KABILA LA WAMAKONDE WAKIWABURUDISHA WATU WANAOTEMBELEA KATIKA KIJIJI CHA MAKUMBUSHO JIJINI DAR ES SALAAM-TANZANIA. |
iko safi...inapendeka
ReplyDelete