18 Aprili, 2013 - Saa 10:14 GMT
Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak
Kiongozi wa mashtaka nchini humo aliamuru Mubarak kurejeshwa jela baada ya kuonekana mwenye nguvu huku akiwapungia mkono wafuasi wake.
Kesi ya mauaji ya waandamanaji dhidi yake itaanzishwa upya mnamo Jumatatu.
No comments:
Post a Comment