Meneja wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kaskazini Bi. Assumpta Malongo(kushoto)akimkabidhi funguo wa pikipiki yake mshindi wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wa Mkoa wa Arusha Anna Ombela, katika hafla fupi iliyofanyika katika kituo cha mabasi cha Nduruma hapo jana,Jumla ya washindi 13 wa kanda hiyo walikabidhiwa bodaboda zao. |
No comments:
Post a Comment