Mandela akiwa Dar baada ya kutoka gerezani
Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mgeni wake Nelson Mandela (kushoto) na
Winnie Mandela kwenye gari la wazi wakati wakiwasili kwenye Uwanja wa
Taifa, jijini Dar es Salaam. Mandela alifanya ziara nchini mwaka 1990
baada ya kutoka gerezani.
No comments:
Post a Comment