Front page

MATANGAZO

KARIBU

Wednesday, November 27, 2013

WANAMITINDO KATIKA MCHUJO WA SWAHILI FASHION WEEK

Tarehe 24 Nov 2013 Swahili Fashion Week walifanya mchujo wa kutafuta wanamitindo mbalimbali ambao wataonesha mavazi ya wabunifu katika wiki ya maonesho ya mavaz ya swahili kuanzia tarehe 5 dec hadi tarehe 8 dec 2013, wanamitindo mbalimbali walijitokeza kwa wingi kutaka kushiriki kwa namna moja na nyingine katika maonesho hayo.Mgeni rasmi alikuwa Herrieth Paul ambaye ni mwanamitindi maarufu Mtanzania mwenye makazi yake nchini Canada, waliohudhuria maonesho hayo pia alikuwapo Jamillah Vera Swai,(Mbunifu wa Mavazi), Gabriel Mollel (Mbunifu wa mavazi), Pedaiah John (Mbunifu wa Mavazi), Honest Arroyal (Mratibu wa mitindo na ubunifu SFW), Mustafa Hassanali (Mwanzilishi wa Swahili Fashion Week) na Esi Mgimba (Afisa Habari na Mahusiano SFW)....MICHUZI BLOG

No comments:

Post a Comment