Front page

MATANGAZO

KARIBU

Wednesday, November 27, 2013

KINANA AITAKA SERIKALI IPUNGUZE MATUMIZI YASIYO YA LAZIMA



 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Masoko ,kijiji cha Lupando wilaya ya Rungwe ,Katibu Mkuu waliwaambia wananchi hao kuwa urasimu na umangi meza wa watendaji wa serikali ndio unachangia kwa kiasi kikubwa kurudisha maendeleo yao nyuma na kusema kamwe CCM haitokubali hali hiyo iendelee na kusisitiza CCM itahakikisha wananchi wanapata haki zao za msingi kwanza.

No comments:

Post a Comment