
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Masoko ,kijiji cha
Lupando wilaya ya Rungwe ,Katibu Mkuu waliwaambia wananchi hao kuwa
urasimu na umangi meza wa watendaji wa serikali ndio unachangia kwa
kiasi kikubwa kurudisha maendeleo yao nyuma na kusema kamwe CCM
haitokubali hali hiyo iendelee na kusisitiza CCM itahakikisha wananchi
wanapata haki zao za msingi kwanza.
No comments:
Post a Comment