Sala ya Idul Adh-ha yasaliwa katika Iran ya Kiislamu
Kuchinja ni moja ya amali za wajibu za Hijja lakini Waislamu katika pembe mbalimbali za dunia ambao hawajapata taufiki ya kutekeleza amali hiyo, katika siku ya leo ya Idi huchinja mbuzi, kondoo, ng'ombe au ngamia na kugawa nyama kwa watu wasio na uwezo na wahitaji.
No comments:
Post a Comment