Front page

MATANGAZO

KARIBU

Tuesday, April 16, 2013

Semina ya wadau wa usafirishaji, Tanroads,Sumatra, wanahabari ,wanasheria na Mkuu wa Wilaya ya Arusha John Mongela


MWENYEKITI WA MADEREVA WA BODA BODA MKOANI ARUSHA BWANA GOODLIGHT LUGEMALILA AKISIKILIZA KWA MAKINI KUHUSU NINI KIFANYIKE KWA PAMOJA KATIKA MATUMIZI YA BARABARA.

Kutoka kushoto Mhandisi Kakoko , bosi wa Tanroad mkoa wa Arusha, mkuu wa Wilaya ya Arusha John Mongella aliyesimama akizungumza katika semina hiyo na kulia ni jaji Aisha Nyerere.

Jaji Mfawidhi Kanda ya Arusha Aisha Nyerere akichangia katika semina hiyo mapema leo katika ukumbi wa mikutano, jengo la  ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Arusha.


No comments:

Post a Comment