Front page

MATANGAZO

KARIBU

Wednesday, March 27, 2013

Mkutano wa BRICS wafanyika Afrika Kusini

Mkutano wa BRICS 2013 huko Durban, Afrika Kusini

Nchini Afrika Kusini Jana (26.03.2013) kumeanza mkutano wa mataifa matano unaojulikana kama BRICS kujadliwa masuala ya kiuchumi.

Mkutano unaoyaleta pamoja mataifa matano yanayoibuka kuwa nguvu kubwa ya kiuchumi Brazil,Urusi,India China na Afrika Kusini yanayojulikana kama BRICS, unaanza leo nchini Afrika kusini huku viongozi wa matifa hayo wakitarajiwa kujadili masuala ya kiuchumi yatakayoupa muungano huo nguvu zaidi . Caro Robi amezungumza na mwanauchumi Ali Mutasa na kwanza alimuuliza kundi hilo la BRICS lina uzito gani katika uchumi wa Dunia? Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandsishi: Caro Robi
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

No comments:

Post a Comment